Hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa iringa Bi Consolata Singano akiendesha kesi huku akiongozwa na msoma mashtaka wa serikari Ndg msuya, alisema kuwa Mshatakiwa anashitakiwa kwa makosa mawili, moja likiwa ni mnamo tarehe 14/5/2012 katika ofisi za manispaa ya iringa alimtishia kwa maneno Kumuua Mbunge wa Iringa mjini mch Peter Msigwa, shitaka la Pili, tarehe hiyo hiyo alimtishia kumuua diwani wa kata ya mivinjeni(Chadema) Ndg Fredrick Nyalusi, Mshitakiwa alikana shitaka, hakimu alisema dhamana ipo wazi kwa mshitakiwa, lakini wadhamini wa mshitakiwa hawakutimiza masharti ya dhamana hivyo amepelekwa rumande.
News
Mramba azidi kumkandamiza Mkapa mahakamani
ALIYEKUWA Waziri wa Fedha Basil Mramba, jana aliendelea kumkandamiza aliyekuwa bosi wake na Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, akimhusisha moja...
Diwani Afikishwa Mahakamani (NOTE: Sample story)
Hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa iringa Bi Consolata Singano akiendesha kesi huku akiongozwa na msoma mashtaka wa serikari Ndg msuya, alisema...
Items: 1 - 2 of 2
Contact
Neptune Law Attorneys
Azikiwe/Samora Avenue, Plot No. 31, 7th Floor
Dar es Salaam
Mob:+255 784 754 818
Cell: +255 732 991 524
Fax: +255 732 991 524