Diwani Afikishwa Mahakamani (NOTE: Sample story)

Diwani Afikishwa Mahakamani (NOTE: Sample story)

Hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa iringa Bi Consolata Singano akiendesha kesi huku akiongozwa na msoma mashtaka wa serikari Ndg msuya, alisema kuwa Mshatakiwa anashitakiwa kwa makosa mawili, moja likiwa ni mnamo tarehe 14/5/2012 katika ofisi za manispaa ya iringa alimtishia kwa maneno Kumuua Mbunge wa Iringa mjini mch Peter Msigwa, shitaka la Pili, tarehe hiyo hiyo alimtishia kumuua diwani wa kata ya mivinjeni(Chadema) Ndg Fredrick Nyalusi, Mshitakiwa alikana shitaka, hakimu alisema dhamana ipo wazi kwa mshitakiwa, lakini wadhamini wa mshitakiwa hawakutimiza masharti ya dhamana hivyo amepelekwa rumande.